AJALI ZA BODA BODA

Inakadiriwa kwa siku hospitali ya taifa ya muhimbili,inapokea majeruhi takribani 30 mpaka 50 kwa siku wanaotokana na ajali za boda boda ndani ya jiji la Dar es Salaam. Maneno hayo yalisemwa na Mnadhimu Mkuu wa Kikosi cha usalama Barabarani Tanzania. (ACP. Theopista Mallya)


Comments

Popular posts from this blog

BODABODA WANAVYOITIA HASARA HOSPITALI YA BUGANDO

Boda boda;Kundi linaloonekana kuwa sugu kwa kutofuata sheria za usalama barabarani